
Mwanaume anayeitwa Fredrick Mula ameomba Mahakama Kuu imruhusu kuchukua nafasi ya kuendesha kesi inayopinga kung’olewa kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua.
Mwanaume anayeitwa Fredrick Mula ameomba Mahakama Kuu imruhusu kuchukua nafasi ya kuendesha kesi inayopinga kung’olewa kwa aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua.
Katibu mkuu wa chama cha Jubilee Jeremiah Kioni amemuonya aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua dhidi ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa 2027.
Wakazi wa kijiji cha Kaprengerwo katika Wadi ya Tinet walilalamikia hali mbaya ya barabara ambayo imezorota zaidi kutokana na mvua kubwa za hivi karibuni.
Kukamatwa kwake kulifanyika Jumatatu, Mei 19, wakati wa oparesheni ya kiintelijensia iliyotekelezwa na vitengo maalum vya Njiru Sierra One na Kayole 5...
Sasa imeibuka kuwa maafisa waliozingira nyumba za aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagua huko Karen na Nyeri siku ya Jumapili walikuwa wakitafuta bunduki.
Padre John Maina Ndegwa, mkuu wa parokia ya kikatoliki ya Igwamiti huko Nyandarua, alipatikana amefariki baada ya kutekwa nyara, kushambuliwa na kutupwa Nakuru
Kiongozi wa ODM Raila Odinga alitofautiana na kakake Oburu Odinga, ambaye alidai kuwa mwanasiasa huyo mkongwe wa upinzani ni sehemu ya serikali ya muungano mpana.
Matatu SACCO yahusishwa na ajali mbaya na kuua watu 12 kusimamishwa kazi huku NTSA ikikagua magari na madereva. Shirika hilo linalenga kutoa taaluma ya udereva
Juhudi za aliyekuwa DP Rigathi Gachagua kumpinga chini Ruto 2027 tayari zinakabiliwa na vikwazo vikubwa huku wachambuzi wakizungumzia Chama chake kipya.
Robert Ajwang, anayejulikana sana kama Money Bior, ameanza rasmi kampeni zake huko Kasipul katika juhudi za kumrithi marehemu mbunge Ong'ondo Were.
Kenya
Pakua zaidi