
Tume ya Kitaifa ya Huduma ya Polisi







Kirima Wa Thùgùnùi alikuwa amemaliza tu majukumu yake akiwa mpambe wa bosi wa Hoteli ya Greton na alikuwa akielekea nyumbani. Akiwa njiani alishambuliwa na wahuni.

Mkuu wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) Mohammed Amin anafanya kazi chini ya Huduma ya Kitaifa ya Polisi, inayoongozwa na Inspekta Jenerali (IG) Douglas Kanja.

Joshua Okayo, aliyejeruhiwa wakati wa maandamano, inadaiwa alivamiwa na afisa huyo ambaye awali alimtishia alipokuwa akimtafutia Albert Ojwang haki.

Polisi jijini Nairobi wamefyatua vitoa machozi kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wamekusanyika katikati mwa jiji kupinga kifo cha mwanablogu Albert Ojwang.

Albert Ojwang alisafirishwa kutoka kaunti ya Homa Bay hadi Nairobi mnamo Juni 7. Inspekta Mkuu wa Polisi Douglas Kanja alisema walisimama Narok kununua vitafunio.

The Standard Group inadai maafisa wa GSU walivamia chumba chake cha habari kutokana na habari feki kumhusu DIG Eliud Lagat kabla ya kifo cha Albert Ojwang.

Albert Ojwang, mwalimu na bloga maarufu kwenye mitandao ya kijamii, aliteswa katika Msitu wa Karura kabla ya kurejeshwa Kituo cha Polisi cha Central nusu maiti.

Maandamano yalizuka Kinangop baada ya mwanamke mjamzito kujifungua katika seli na mtoto wake kufariki. Seneta John Methu ametaka wahusika kuchukuliwa hatau kali.

Mamlaka ya Mawasiliano nchini Kenya imekanusha madai kwamba ilitoa data iliyotumika kumkamata Albert Ojwang, ambaye baadaye alifariki akiwa mikononi mwa polisi.
Tume ya Kitaifa ya Huduma ya Polisi
Pakua zaidi